13 Na wana wa Israeli hawakuwafukuza+ Wageshuri na Wamaakathi katika nchi, bali Geshuri+ na Maakathi huendelea kukaa katikati ya Israeli mpaka leo hii.
3 Na mwana wake wa pili alikuwa Kileabu+ kupitia Abigaili+ mke wa Nabali Mkarmeli, na wa tatu alikuwa Absalomu+ mwana wa Maaka binti ya Talmai+ mfalme wa Geshuri.