Kutoka 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa watu wote walikuwa wakiona ile mingurumo na miwako ya umeme na sauti ya baragumu na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hilo, ndipo wakatetemeka na kusimama mbali.+ Waebrania 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ninyi hamkukaribia kile kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa kwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na tufani,+
18 Sasa watu wote walikuwa wakiona ile mingurumo na miwako ya umeme na sauti ya baragumu na mlima ukitoa moshi. Watu walipoona hilo, ndipo wakatetemeka na kusimama mbali.+
18 Kwa maana ninyi hamkukaribia kile kinachoweza kuguswa+ na ambacho kimewashwa kwa moto,+ na wingu jeusi na giza zito na tufani,+