Yeremia 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Nimesikia yale ambayo manabii wanaotoa unabii wa uwongo katika jina langu+ wamesema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’+ Yeremia 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘“‘Nanyi msiwasikilize manabii+ wenu na waaguzi wenu na waota-ndoto+ wenu na watu wenu wenye kufanya uchawi na walozi+ wenu, ambao wanawaambia: “Ninyi hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”+
25 “Nimesikia yale ambayo manabii wanaotoa unabii wa uwongo katika jina langu+ wamesema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’+
9 “‘“‘Nanyi msiwasikilize manabii+ wenu na waaguzi wenu na waota-ndoto+ wenu na watu wenu wenye kufanya uchawi na walozi+ wenu, ambao wanawaambia: “Ninyi hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”+