Yeremia 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa habari ya nabii anayetoa unabii wa amani,+ wakati neno la nabii huyo litakapotimia yule nabii ambaye Yehova amemtuma kikweli atajulikana.”+ Mathayo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+
9 Kwa habari ya nabii anayetoa unabii wa amani,+ wakati neno la nabii huyo litakapotimia yule nabii ambaye Yehova amemtuma kikweli atajulikana.”+
22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+