Yoshua 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ufalme wote wa Ogu+ katika Bashani, aliyetawala katika Ashtarothi na katika Edrei+—yeye ndiye aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu+—kwa kuwa Musa aliwapiga na kuwanyang’anya nchi na kuwafukuza.+
12 ufalme wote wa Ogu+ katika Bashani, aliyetawala katika Ashtarothi na katika Edrei+—yeye ndiye aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu+—kwa kuwa Musa aliwapiga na kuwanyang’anya nchi na kuwafukuza.+