Waamuzi 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Zabuloni+ hakuwafukuza wakaaji wa Kitroni na wakaaji wa Nahaloli,+ lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao,+ nao wakatiwa katika kazi ya kulazimishwa.+
30 Zabuloni+ hakuwafukuza wakaaji wa Kitroni na wakaaji wa Nahaloli,+ lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao,+ nao wakatiwa katika kazi ya kulazimishwa.+