Mwanzo 31:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ndipo Labani akasema: “Rundo hili ni ushahidi kati yangu na wewe leo.” Hiyo ndiyo sababu akaliita jina lake Galeedi,+ Yoshua 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye Yoshua akawaambia watu wote: “Tazameni! Jiwe hili litakuwa ushahidi dhidi yetu,+ kwa sababu limesikia maneno yote ya Yehova ambayo amesema nasi, nalo litakuwa ushahidi dhidi yenu, ili msije mkamkana Mungu wenu.”
48 Ndipo Labani akasema: “Rundo hili ni ushahidi kati yangu na wewe leo.” Hiyo ndiyo sababu akaliita jina lake Galeedi,+
27 Naye Yoshua akawaambia watu wote: “Tazameni! Jiwe hili litakuwa ushahidi dhidi yetu,+ kwa sababu limesikia maneno yote ya Yehova ambayo amesema nasi, nalo litakuwa ushahidi dhidi yenu, ili msije mkamkana Mungu wenu.”