Waebrania 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+ 2 Petro 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hakika ikiwa, baada ya kuponyoka kutoka katika mambo ya unajisi ya ulimwengu+ kwa ujuzi sahihi juu ya Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa,+ hali ya mwisho imekuwa mbaya zaidi kwao kuliko ile ya kwanza.+
38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+
20 Hakika ikiwa, baada ya kuponyoka kutoka katika mambo ya unajisi ya ulimwengu+ kwa ujuzi sahihi juu ya Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa,+ hali ya mwisho imekuwa mbaya zaidi kwao kuliko ile ya kwanza.+