Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Hesabu 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Wamidiani na wasumbuliwe, nanyi mtawapiga,+ Hesabu 31:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakapigana vita na Midiani, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa, nao wakamuua kila mwanamume.+ Hesabu 31:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 na kumwambia Musa: “Watumishi wako wamechukua hesabu ya wanaume wa vita walio chini ya usimamizi wetu wala hakuna hata mmoja aliyesemwa kuwa anakosekana kwetu.+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
7 Nao wakapigana vita na Midiani, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa, nao wakamuua kila mwanamume.+
49 na kumwambia Musa: “Watumishi wako wamechukua hesabu ya wanaume wa vita walio chini ya usimamizi wetu wala hakuna hata mmoja aliyesemwa kuwa anakosekana kwetu.+