Mwanzo 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nanyi mnapaswa kutahiriwa nyama ya magovi yenu, nayo iwe ishara ya agano kati yangu mimi na ninyi.+ Kutoka 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mwishowe Sipora+ akachukua jiwe gumu na kukata govi+ la mwanawe, akalifanya liguse miguu yake, na kusema: “Ni kwa sababu wewe ni bwana-arusi wa damu kwangu.”
11 Nanyi mnapaswa kutahiriwa nyama ya magovi yenu, nayo iwe ishara ya agano kati yangu mimi na ninyi.+
25 Mwishowe Sipora+ akachukua jiwe gumu na kukata govi+ la mwanawe, akalifanya liguse miguu yake, na kusema: “Ni kwa sababu wewe ni bwana-arusi wa damu kwangu.”