Yoshua 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mpaka wao ukawa katika pembe ya kaskazini kutoka Yordani, na mpaka huo ukapanda hadi kwenye mteremko wa Yeriko+ upande wa kaskazini na kupanda kwenye mlima upande wa magharibi, na mwisho wake ukawa katika nyika ya Beth-aveni.+
12 Na mpaka wao ukawa katika pembe ya kaskazini kutoka Yordani, na mpaka huo ukapanda hadi kwenye mteremko wa Yeriko+ upande wa kaskazini na kupanda kwenye mlima upande wa magharibi, na mwisho wake ukawa katika nyika ya Beth-aveni.+