Zaburi 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Farasi ni udanganyifu kwa ajili ya wokovu,+Na kwa wingi wa nguvu zake haokoi.+ Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+