Yoshua 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 wakaaji wote wa eneo lenye milima, kutoka Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu,+ Wasidoni+ wote; mimi mwenyewe nitawanyang’anya nchi na kuwafukuza mbele ya wana wa Israeli.+ Uwawezeshe wana wa Israeli kuirithi, kama vile ambavyo nimekuamuru.+
6 wakaaji wote wa eneo lenye milima, kutoka Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu,+ Wasidoni+ wote; mimi mwenyewe nitawanyang’anya nchi na kuwafukuza mbele ya wana wa Israeli.+ Uwawezeshe wana wa Israeli kuirithi, kama vile ambavyo nimekuamuru.+