29 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Ikiwa wana wa Gadi na wana wa Rubeni watavuka pamoja nanyi Yordani, kila mtu aliye tayari kwa ajili ya vita,+ mbele za Yehova, nayo nchi itiishwe mbele yenu, basi ninyi mtawapa nchi ya Gileadi iwe miliki yao.+
8 Na pamoja na ile nusu nyingine ya kabila, Warubeni na Wagadi walichukua urithi wao ambao Musa aliwapa ng’ambo ya Yordani iliyo upande wa mashariki, kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa amewapa,+