Yoshua 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nao ukatiwa alama kuelekea kaskazini na kwenda hadi En-shemeshi na kwenda hadi Gelilothi, eneo lililo mbele ya mpando wa Adumimu;+ nao ukashuka kuelekea kwenye jiwe+ la Bohani+ mwana wa Rubeni.
17 Nao ukatiwa alama kuelekea kaskazini na kwenda hadi En-shemeshi na kwenda hadi Gelilothi, eneo lililo mbele ya mpando wa Adumimu;+ nao ukashuka kuelekea kwenye jiwe+ la Bohani+ mwana wa Rubeni.