Waamuzi 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akamwambia: “Nipe baraka,+ kwa maana umenipa sehemu ya shamba upande wa kusini, nawe unipe Guloth-maimu.” Basi Kalebu akampa Gulothi ya Juu+ na Gulothi ya Chini.
15 Naye akamwambia: “Nipe baraka,+ kwa maana umenipa sehemu ya shamba upande wa kusini, nawe unipe Guloth-maimu.” Basi Kalebu akampa Gulothi ya Juu+ na Gulothi ya Chini.