Hesabu 27:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Binti za Selofehadi wanasema jambo lililo sawa. Wape miliki ya urithi katikati ya ndugu za baba yao, nawe utaupitisha urithi wa baba yao kwao.+
7 “Binti za Selofehadi wanasema jambo lililo sawa. Wape miliki ya urithi katikati ya ndugu za baba yao, nawe utaupitisha urithi wa baba yao kwao.+