21 Wakaangamiza kila kitu kilichokuwa ndani ya jiji hilo, kuanzia mwanamume mpaka mwanamke, kuanzia kijana mpaka mzee hata ng’ombe na kondoo na punda, kwa makali ya upanga.+
24 Kisha wakaliteketeza jiji kwa moto na kila kitu kilichokuwamo.+ Isipokuwa fedha na dhahabu na vyombo vya shaba na chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya Yehova.+