Waamuzi 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naftali+ hakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na wakaaji wa Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani waliokaa katika nchi;+ na wakaaji wa Beth-shemeshi na wale wa Beth-anathi wakawatumikia katika kazi ya kulazimishwa.+
33 Naftali+ hakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na wakaaji wa Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani waliokaa katika nchi;+ na wakaaji wa Beth-shemeshi na wale wa Beth-anathi wakawatumikia katika kazi ya kulazimishwa.+