Waamuzi 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtakapoingia, mtawafikia watu wasio na shaka,+ na nchi ile ni pana sana; kwa maana Mungu ameitia mkononi mwenu,+ mahali ambapo hakuna ukosefu wa kitu cha aina yoyote kilicho duniani.”+
10 Mtakapoingia, mtawafikia watu wasio na shaka,+ na nchi ile ni pana sana; kwa maana Mungu ameitia mkononi mwenu,+ mahali ambapo hakuna ukosefu wa kitu cha aina yoyote kilicho duniani.”+