Mwanzo 24:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Baada ya hayo wakala na kunywa, yeye pamoja na wale wanaume waliokuwa pamoja naye, nao wakakaa hapo usiku huo, wakaamka asubuhi. Kisha akasema: “Mniache niende kwa bwana wangu.”+ Waroma 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+ Waebrania 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+
54 Baada ya hayo wakala na kunywa, yeye pamoja na wale wanaume waliokuwa pamoja naye, nao wakakaa hapo usiku huo, wakaamka asubuhi. Kisha akasema: “Mniache niende kwa bwana wangu.”+
13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+
2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+