Waamuzi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi wakageuka kando hapo ili kuingia ndani walale usiku kucha katika Gibea. Kisha wakaingia na kuketi katika kiwanja cha watu wote cha jiji, wala hakuna yeyote aliyewakaribisha ndani ya nyumba ili walale usiku kucha.+ Waroma 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+ Waebrania 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+ 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+
15 Basi wakageuka kando hapo ili kuingia ndani walale usiku kucha katika Gibea. Kisha wakaingia na kuketi katika kiwanja cha watu wote cha jiji, wala hakuna yeyote aliyewakaribisha ndani ya nyumba ili walale usiku kucha.+
13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+
2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+