Waamuzi 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo mwenye nyumba akatoka nje, akawaendea na kuwaambia:+ “Hapana, ndugu zangu,+ tafadhali msifanye jambo lolote baya, kwa kuwa mtu huyu ameingia nyumbani mwangu. Msitende upumbavu huu wenye kufedhehesha.+
23 Ndipo mwenye nyumba akatoka nje, akawaendea na kuwaambia:+ “Hapana, ndugu zangu,+ tafadhali msifanye jambo lolote baya, kwa kuwa mtu huyu ameingia nyumbani mwangu. Msitende upumbavu huu wenye kufedhehesha.+