Waamuzi 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’ Waamuzi 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi kusanyiko likatuma huko wanaume kumi na mbili elfu walio mashujaa zaidi na kuwaamuru, wakisema: “Nendeni, mkawapige wakaaji wa Yabesh-gileadi kwa makali ya upanga, hata wanawake na watoto wadogo.+
23 ‘Laani+ Merozi,’ akasema malaika wa Yehova,+‘Walaani wakaaji wake bila kukoma,Kwa sababu hawakuja kumsaidia Yehova,Kumsaidia Yehova pamoja na wanaume wenye nguvu.’
10 Basi kusanyiko likatuma huko wanaume kumi na mbili elfu walio mashujaa zaidi na kuwaamuru, wakisema: “Nendeni, mkawapige wakaaji wa Yabesh-gileadi kwa makali ya upanga, hata wanawake na watoto wadogo.+