Yoshua 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Urithi wao ulikuwa kwa kura,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru yale makabila tisa na ile nusu ya kabila kupitia kwa Musa.+ Waamuzi 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati Yoshua alipowaacha watu waende zao, ndipo wana wa Israeli wakaenda zao, kila mmoja kwa urithi wake, wapate kuimiliki nchi.+ Waamuzi 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi watu wote wakasimama kama mtu mmoja,+ wakisema: “Hatutaenda hata mmoja wetu katika hema lake, wala hatutageuka hata mmoja wetu kwenda nyumbani kwake.+
2 Urithi wao ulikuwa kwa kura,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru yale makabila tisa na ile nusu ya kabila kupitia kwa Musa.+
6 Wakati Yoshua alipowaacha watu waende zao, ndipo wana wa Israeli wakaenda zao, kila mmoja kwa urithi wake, wapate kuimiliki nchi.+
8 Basi watu wote wakasimama kama mtu mmoja,+ wakisema: “Hatutaenda hata mmoja wetu katika hema lake, wala hatutageuka hata mmoja wetu kwenda nyumbani kwake.+