Waamuzi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova kwa vile sasa Ehudi alikuwa amekufa.+ Waamuzi 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na ikawa kwamba mara tu Gideoni alipokufa, wana wa Israeli wakaanza tena kufanya uasherati na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+
4 Ndipo wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova kwa vile sasa Ehudi alikuwa amekufa.+
33 Na ikawa kwamba mara tu Gideoni alipokufa, wana wa Israeli wakaanza tena kufanya uasherati na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+