Waamuzi 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wala Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri, lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao katika Gezeri.+ Zaburi 106:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hawakuangamiza vikundi vya watu,+Kama Yehova alivyokuwa amewaambia.+
29 Wala Efraimu hakuwafukuza Wakanaani waliokuwa wakikaa Gezeri, lakini Wakanaani waliendelea kukaa kati yao katika Gezeri.+