Mwanzo 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi huyo mtumishi akachukua ngamia kumi kutoka kwa ngamia za bwana wake, akatoka kwenda na kila namna ya kitu chema cha bwana wake mkononi mwake.+ Kisha akaondoka na kwenda Mesopotamia mpaka katika jiji la Nahori.
10 Basi huyo mtumishi akachukua ngamia kumi kutoka kwa ngamia za bwana wake, akatoka kwenda na kila namna ya kitu chema cha bwana wake mkononi mwake.+ Kisha akaondoka na kwenda Mesopotamia mpaka katika jiji la Nahori.