32Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo.
24 Jijengeeni majiji kwa ajili ya watoto wenu wadogo na mazizi ya mawe kwa ajili ya makundi yenu, nanyi mnapaswa kufanya jambo lililotoka kinywani mwenu.”+