15Na kura+ ya kabila la wana wa Yuda kulingana na familia zao ikawa hadi kwenye mpaka wa Edomu,+ nyika ya Zini,+ hadi Negebu+ mwisho wake wa upande wa kusini.
19Kisha kura+ ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni,+ kwa ajili ya kabila la wana wa Simeoni kulingana na familia zao. Na urithi wao ukawa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.+