Waamuzi 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Midiani na Amaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejazana katika ile nchi tambarare ya chini, wengi sana kama nzige;+ na ngamia+ zao hawakuwa na hesabu, walikuwa wengi sana kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari.
12 Sasa Midiani na Amaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejazana katika ile nchi tambarare ya chini, wengi sana kama nzige;+ na ngamia+ zao hawakuwa na hesabu, walikuwa wengi sana kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari.