5 Nanyi acheni nichukue kipande cha mkate, niburudishe mioyo yenu.+ Baadaye, ninyi mnaweza kuendelea mbele, kwa maana hiyo ndiyo sababu mmepitia njia hii kwa mtumishi wenu.” Basi wakasema: “Vema. Unaweza kufanya kama ulivyosema.”
19 Na Gideoni akaingia ndani, akatayarisha mwana-mbuzi+ na efa ya unga kuwa keki zisizo na chachu.+ Akaweka nyama katika kikapu, mchuzi akauweka katika chungu cha kupikia, kisha akamletea hapo nje chini ya ule mti mkubwa, akavipakua.