Yoshua 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Urithi wa wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda, kwa sababu fungu la wana wa Yuda lilikuwa kubwa mno kwao.+ Basi wana wa Simeoni wakapata miliki katikati ya urithi wao.+
9 Urithi wa wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda, kwa sababu fungu la wana wa Yuda lilikuwa kubwa mno kwao.+ Basi wana wa Simeoni wakapata miliki katikati ya urithi wao.+