21 Basi Zeba na Zalmuna wakasema: “Simama wewe mwenyewe utushambulie, kwa maana jinsi mwanamume alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake.”+ Kwa hiyo Gideoni akasimama na kuwaua+ Zeba na Zalmuna, naye akachukua yale mapambo yenye umbo la mwezi yaliyokuwa katika shingo za ngamia zao.