12 Sasa Midiani na Amaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejazana katika ile nchi tambarare ya chini, wengi sana kama nzige;+ na ngamia+ zao hawakuwa na hesabu, walikuwa wengi sana kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari.
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+