Yoshua 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kutoka katika nusu ya kabila la Manase, Taanaki+ na kiwanja chake cha malisho, na Gath-rimoni na kiwanja chake cha malisho; majiji mawili. Waamuzi 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+
25 Na kutoka katika nusu ya kabila la Manase, Taanaki+ na kiwanja chake cha malisho, na Gath-rimoni na kiwanja chake cha malisho; majiji mawili.
19 Wafalme walikuja, wakapiga vita;Ndipo wafalme wa Kanaani wakapiga vita+Katika Taanaki+ kando ya maji ya Megido.+Hawakuchukua faida yoyote ya fedha.+