28 Ndipo Gaali mwana wa Ebedi akasema: “Abimeleki+ ni nani, na Shekemu ni nani ili tumtumikie? Je, yeye si mwana wa Yerubaali,+ na je, Zebuli+ si mjumbe wake? Ninyi wengine watumikieni watu wa Hamori,+ baba ya Shekemu, lakini je, kwa nini sisi tumtumikie?