Mwanzo 31:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ndipo Labani akasema: “Rundo hili ni ushahidi kati yangu na wewe leo.” Hiyo ndiyo sababu akaliita jina lake Galeedi,+ Hesabu 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Ikiwa wana wa Gadi na wana wa Rubeni watavuka pamoja nanyi Yordani, kila mtu aliye tayari kwa ajili ya vita,+ mbele za Yehova, nayo nchi itiishwe mbele yenu, basi ninyi mtawapa nchi ya Gileadi iwe miliki yao.+
48 Ndipo Labani akasema: “Rundo hili ni ushahidi kati yangu na wewe leo.” Hiyo ndiyo sababu akaliita jina lake Galeedi,+
29 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Ikiwa wana wa Gadi na wana wa Rubeni watavuka pamoja nanyi Yordani, kila mtu aliye tayari kwa ajili ya vita,+ mbele za Yehova, nayo nchi itiishwe mbele yenu, basi ninyi mtawapa nchi ya Gileadi iwe miliki yao.+