21 Naye akakimbia, akaondoka na kuvuka ule Mto,+ yeye na vyote alivyokuwa navyo. Baada ya hapo akaelekeza uso wake kwenye eneo lenye milima la Gileadi.+
29 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Ikiwa wana wa Gadi na wana wa Rubeni watavuka pamoja nanyi Yordani, kila mtu aliye tayari kwa ajili ya vita,+ mbele za Yehova, nayo nchi itiishwe mbele yenu, basi ninyi mtawapa nchi ya Gileadi iwe miliki yao.+