Mwanzo 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baadaye malaika wa Yehova+ akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, kwenye chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+ Luka 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Malaika wa Yehova akamtokea, akiwa amesimama upande wa kuume wa madhabahu ya uvumba.+
7 Baadaye malaika wa Yehova+ akamkuta kwenye chemchemi ya maji nyikani, kwenye chemchemi iliyo njiani kuelekea Shuri.+