Waamuzi 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hivyo akawaambia: “Katika mwenye kula+ kilitoka kitu fulani cha kula, Na katika mwenye nguvu kilitoka kitu fulani kitamu.”+ Nao hawakuweza kukitegua kitendawili hicho kwa muda wa siku tatu.
14 Hivyo akawaambia: “Katika mwenye kula+ kilitoka kitu fulani cha kula, Na katika mwenye nguvu kilitoka kitu fulani kitamu.”+ Nao hawakuweza kukitegua kitendawili hicho kwa muda wa siku tatu.