7 Lakini aliniambia, ‘Tazama! Utachukua mimba, nawe hakika utazaa mwana.+ Basi sasa usinywe divai wala kileo, wala usile kitu chochote kisicho safi, kwa maana mtoto huyo atakuwa Mnadhiri wa Mungu tangu atakapotoka tumboni mpaka siku ya kufa kwake.’”+