Marko 9:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoamini, ingekuwa afadhali ikiwa jiwe la kusagia kama lile ambalo huzungushwa na punda lingewekwa shingoni pake naye atupwe baharini.+
42 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoamini, ingekuwa afadhali ikiwa jiwe la kusagia kama lile ambalo huzungushwa na punda lingewekwa shingoni pake naye atupwe baharini.+