Waamuzi 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akawapiga, akirundika miguu juu ya mapaja kwa mauaji makubwa, kisha akashuka, akaanza kukaa katika mpasuko wa mwamba Etamu.+ Waamuzi 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Samsoni akasema: “Kwa mfupa wa taya ya punda-dume—fungu moja, mafungu mawili! Kwa mfupa wa taya ya punda-dume nimepiga watu elfu moja.”+
8 Naye akawapiga, akirundika miguu juu ya mapaja kwa mauaji makubwa, kisha akashuka, akaanza kukaa katika mpasuko wa mwamba Etamu.+
16 Ndipo Samsoni akasema: “Kwa mfupa wa taya ya punda-dume—fungu moja, mafungu mawili! Kwa mfupa wa taya ya punda-dume nimepiga watu elfu moja.”+