Mwanzo 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Abrahamu kuwa mali yake iliyonunuliwa mbele ya macho ya wana wa Hethi kati ya wale wote wanaoingia katika lango la jiji lake.+ Yeremia 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha nikaandika katika hati+ na kutia muhuri+ na kuchukua mashahidi+ nilipokuwa nikipima+ pesa katika mizani.
18 Abrahamu kuwa mali yake iliyonunuliwa mbele ya macho ya wana wa Hethi kati ya wale wote wanaoingia katika lango la jiji lake.+
10 Kisha nikaandika katika hati+ na kutia muhuri+ na kuchukua mashahidi+ nilipokuwa nikipima+ pesa katika mizani.