Waamuzi 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea, akamwambia: “Yehova yupo pamoja nawe,+ Ee mwanamume shujaa na mwenye nguvu.” 2 Timotheo 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Bwana na awe pamoja na roho unayoonyesha.+ Fadhili zake zisizostahiliwa ziwe pamoja nanyi.
12 Ndipo malaika wa Yehova akamtokea, akamwambia: “Yehova yupo pamoja nawe,+ Ee mwanamume shujaa na mwenye nguvu.”