1 Samweli 2:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+ 2 Mambo ya Nyakati 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwishowe wakapanga hila juu yake,+ wakampiga kwa mawe+ kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya Yehova. Methali 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Watu wenye kiu ya damu humchukia yeyote asiye na lawama;+ nao wanyoofu, huendelea kuitafuta nafsi ya kila mmoja.+
31 Tazama! Siku zinakuja ambazo hakika nitaukata mkono wako na mkono wa nyumba ya babu yako, ili kusiweko kamwe na mzee katika nyumba yako.+
21 Mwishowe wakapanga hila juu yake,+ wakampiga kwa mawe+ kwa amri ya mfalme katika ua wa nyumba ya Yehova.
10 Watu wenye kiu ya damu humchukia yeyote asiye na lawama;+ nao wanyoofu, huendelea kuitafuta nafsi ya kila mmoja.+