1 Samweli 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na watu hao walikuwa wema sana kwetu, nao hawakutusumbua, nasi hatukupoteza hata kitu kimoja siku zote za kutembea kwetu tukiwa shambani.+ Luka 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+
15 Na watu hao walikuwa wema sana kwetu, nao hawakutusumbua, nasi hatukupoteza hata kitu kimoja siku zote za kutembea kwetu tukiwa shambani.+
14 Pia, wale walio katika utumishi wa kijeshi wakamuuliza: “Na sisi pia tufanye nini?” Naye akawaambia: “Msimsumbue mtu yeyote wala kumshtaki+ mtu yeyote kwa uwongo, bali mtosheke na posho lenu.”+