1 Samweli 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na, kwa upande mwingine, kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli, ambaye amenizuia nisikudhuru wewe,+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea,+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa Nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani.”+
34 Na, kwa upande mwingine, kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli, ambaye amenizuia nisikudhuru wewe,+ kama hungelifanya haraka ili uje kunipokea,+ kufikia wakati wa nuru ya asubuhi hangelibaki kwa Nabali mtu yeyote anayekojoa ukutani.”+