3 Na Daudi akaendelea kukaa na Akishi katika Gathi, yeye pamoja na watu wake, kila mmoja na nyumba yake,+ Daudi na wake zake wawili, Ahinoamu+ Myezreeli na Abigaili,+ mke wa Nabali Mkarmeli.
3Na hawa wakawa wana wa Daudi+ aliowazaa akiwa kule Hebroni:+ Amnoni+ mzaliwa wa kwanza, wa Ahinoamu+ mwanamke Myezreeli,+ Danieli wa pili, wa Abigaili+ mwanamke Mkarmeli,+